Miongoni Mwa Hukumu Za Kisheria Katika Twahara Na Swala cover

Podcast

Miongoni Mwa Hukumu Za Kisheria Katika Twahara Na Swala

Shahidi Muhamad Zaid

Muhadhara huu unazungumzia namna ya kutawadha,na kuoga,na kutayamamu,kupaka juu ya khofu,na jinsi ya kutawadha mgonjwa.pia namna ya kuswali,yanayo chukiza katika swala,na yanayo batilisha swala,na sijda ya kusahau,na hukumu ya mtu asie swali.

Episodes

0
Indexing this feed

Episodes will appear here as soon as the worker finishes.

Prefer another app? Listen on Apple Podcasts