January 15, 2012
Kwame mtunza bustani yuko katika bustani mara wageni wanaingia.
Kwamé, mtunza bustani kwenye kituo cha utafiti wa kilimo, Gorom Gorom, anahadithia hadithi yake kwa shangazi yake: Huku akiwa anafanya kazi kwenye bustani, bosi wake, Profesa Omar anatekwa nyara huku yeye akishuhudia...(Sehemu za harakati - uhoga).
Also available on Apple Podcasts